Song Details:- Presenting you “Wewe Ni Mungu Mpasua Bahari Lyrics” written by Boaz Danken. The name of this song is Haufananishwi/Unafanya Mambo sung by Boaz Danken.
Wewe Ni Mungu Mpasua Bahari Lyrics
Wewe ni Mungu, mpasua bahari Haufananishwi na kitu kingine Haufananishwi na kitu kingine
Wewe ni Mungu, mtuliza mawimbi Haufananishwi na kitu kingine Haufananishwi na kitu kingine
OR
Wewe ni Mungu, mpasua bahari Haufananishwi na kitu kingine Haufananishwi na kitu kingine
Wewe ni Mungu, mtuliza mawimbi Haufananishwi na kitu kingine Haufananishwi na kitu kingine (rudia toka juu) Unafanya mambo ambayo Mwanadamu hawezi kufanya Unatoa faraja ambayo Mwanadamu hawezi toa (rudia) Haufananishwi na kitu kingine Haufananishwi na kitu kingine
Si mwepesi wa hasira Unaghairi mabaya Haufananishwi na kitu kingine Haufananishwi na kitu kingine
Mungu mwenye wivu Unatunza maagano Haufananishwi na kitu kingine Haufananishwi na kitu kingine
Katikati ya gadhabu Unakumbuka rehema Haufananishwi na kitu kingine Haufananishwi na kitu kingine
Unafanya mambo ambayo Mwanadamu hawezi kufanya Unatoa faraja ambayo Mwanadamu hawezi kutoa (rudia x4) Haufananishwi na kitu kingine Haufananishwi na kitu kingine
Music Video
This is the end of Wewe Ni Mungu Mpasua Bahari Lyrics.